Arusi
Publisher
Mbiu Press
Language
Swahili
BOOK OVERVIEW
Penzi la Bukini na Mwanaheri linaingia dosari baada ya Mwanaheri
kupata ujauzito wa mwanamume mwingine aitwaye Ali. Dira ya
uhusiano uliokuwa na ahadi kemkem inaenda arijojo. Je, Mwanaheri na
Bukini watakabiliana vipi na kashfa nzito inayowakabili? Kombe
litafunikwa au heri nusu shari?














