Masomo Yenye Adili
Publisher
Mbiu Press
Language
Swahili

Rent This Book

Expires on August 02, 2025

TSh 3,000/=

Choose Option

BOOK OVERVIEW

Kitabu hiki kimekusanya mambo mengi ya hekima. Ni kitabu ambacho kimejaa hadithi fupi zenye maonyo, ushauri, maelekezo na maadili mbalimbali yahusuyo maisha. Yapo mashairi yenye wingi wa hekima ndani yake ambayo sambamba na hadithi fupi yanafanya kazi ya kuadilisha jamii katika nyanja zote za maisha. Kitabu hiki ni darasa tosha na daraja bora la kupitishia maarifa kutoka kwa msanii kwenda kwa hadhira yake.

COMMUNITY REVIEWS

There are no reviews for this book yet

Write a Review