Arusi
Mchapishaji
Mbiu Press
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on November 24, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Penzi la Bukini na Mwanaheri linaingia dosari baada ya Mwanaheri
kupata ujauzito wa mwanamume mwingine aitwaye Ali. Dira ya
uhusiano uliokuwa na ahadi kemkem inaenda arijojo. Je, Mwanaheri na
Bukini watakabiliana vipi na kashfa nzito inayowakabili? Kombe
litafunikwa au heri nusu shari?