Sarafu ya Gavana
Publisher
Wilbard Makene
Language
Swahili
BOOK OVERVIEW
Watu wasiojulikana katika nchi ya Weusi Kusini, wanapambana vikali kumshambulia Gavana nchi hiyo, bwana Bongo kwa lengo la kummaliza. Katika hali ya kushangaza, vyombo vya usalama vya nchi ya Weusi Kusini, ambavyo vilipaswa kumpa ulinzi Gavana, vinasuasua kufanya hivyo. Hofu na mashaka vinatamalaki kichwani mwa Gavana; mnyororo wa maswali unajirefusha kichwani mwake.
Ndipo anapoibuka Elvis Madiba, kijana machachari toka ndani ya vyombo vya usalama. Anamfuata Gavana na kumwachia sarafu. Huo ndio unakuwa mwanzo wa kuibuka chuki na hasama, visasi na uhalifu, minyukano, nk
|