Orodha
Publisher
Ape Network
Language
Swahili

Rent This Book

Expires on August 02, 2025

TSh 2,000/=

Choose Option

BOOK OVERVIEW

Steve Reynolds alizaliwa mwaka 1960 nchini Uingereza. Amekuwa mwalimu wa Tamthiliya na Michezo ya kuigiza kwa miaka 21 na ameongoza warsha nyingi pamoja na matamasha mbalimbali katika sehemu nyingi duniani.

Alipofika umri wa miaka 36 aliamua kubadilisha mtindo wa maisha kwa kuja Tanzaia kuwa Mkuu wa sanaa za Ubunifu katika shule iitwayo International School of Tanganyika, Aidha alianzisha kampuni ya sanaa ya michezo ya kuigiza kwa ajili ya vijana aliyoiita Dar es Salaam Young People's Theatre. Alitunga michezo miwili ya kuigiza iliyotengenezwa na kampuni hiyo inaitwa Vibaka na The list(Orodha)

COMMUNITY REVIEWS

There are no reviews for this book yet

Write a Review