Jambo la Maana
Publisher
Mbiu Press
Language
Swahili

Rent This Book

Expires on November 23, 2025

TSh 2,000/=

Choose Option

BOOK OVERVIEW

Kitabu hiki ni matokeo ya tafsiri iliyofanywa na Ebrahim Hussein kutoka
katika kazi za mwandishi maarufu wa Kideni, Hans Christian Anderson.
Kitabu hiki kimebeba tafsiri za hadithi tatu: Nguo Mpya za Mfalme,
Jambo la Maana na Taa ya Zamani ya Barabarani. Kazi hii imejaa
mafunzo bora yanayoweza kuleta ukombozi wa kifikra na kuchagiza
mabadiliko chanya katika jamii.

COMMUNITY REVIEWS

There are no reviews for this book yet

Write a Review