HUSSEIN WAMAYWA

BIOGRAPHY




No video uploads for Hussein Wamaywa
Epa - Eleza Pesa Alipozificha

Viongozi fulani wa umma waliomaliza muda wao wa uongozi, na ambao chaguo lao la Mgombea Urais wa Tanzania limetupwa wanapanga Mpango wa kuiba fedha za Serikali kupitia akaunti ya madeni ya nje wakisingizia kugharamia kampeni za uchaguzi mkuu ili chama tawala kishinde. Wanafanikiwa kuiba fedha hizo


  • Published : June 3, 2024

Kampa Kampa

Aisha Kijavara, yule msichana mzuri mwenye urembo wa ulimbo alikuwa amejiinamia juu ya sofa zuri la thamani nyumbani kwa Babu Liwazo.


  • Published : November 21, 2024

Fundi Hakatai Tenda

Fred Babilo alikuwa kijana mzuri mwenye matarajio na malengo makubwa kabisa.


  • Published : November 21, 2024

Huu McHezo...Hauhitaji Hasira!

Habari kuwa Husna mke wa Mzee Makaidi anatembea na Dkt. Raymond Pembe zilimuumiza sana Mzee Makaidi, zilimuumiza kwa kuwa Pembe alikuwa swahiba na rafiki yake kipenzi na ndiye aliyemshauri atoke kijijini aje mjini ambapo angemtafutia nafasi ya kucheza mpira katika katika timu ya Mtalimbo ambayo alikuwa na mahusiano mazuri tu.Kama kuumia huku kulikuwa trela, basi kitendo cha kuzifikisha habari hizi kwa Zena mke wa Pembe kikawa picha halisi.


  • Published : November 27, 2024

Hunitii Kiwewe ...Wewe Ni Kiwelewele

Yawezekana ni kweli mvumilivu hula mbivu, lakini kwa Rashida msemo huu haukuwa na maana. Uvumilivu wake kwa mumewe umemfanya ale zilizooza badala ya mbivu. Alikuwa anajua mumewe Mwiya Ramadhani anampenda sana na ana wivu kupindukia, lakini hakujua kama wivu wa mumewe kwake ungekuwa mkali kiasi, kiasi cha kumfanya Rashida ashindwe kumtazama yeyote usoni mpaka akafaikia hatua ya kumwambia mumewe hunitii kiwewe.


  • Published : November 27, 2024

Samaki wa Futari ...Hatiwi Ndimu!

Katika mkasa uliopita tuliona marafiki wawili; Dkt Raymond Pembe na Mzee Makaidi walivyofumaniana na kuishia kubadilishana wake zao.


  • Published : November 27, 2024

Mboga Dagaa... Kuku Hamu!

Alipopata kazi baada ya kuishi ndani ya ukata kwa muda mrefu, Said alianza kuishi maisha yale roho yake inataka. Maisha ya kwenda u-sasa badala ya u-sasa kwenda na wewe. Maisha ya kutumia zaidi kuingiza kidogo. Maisha haya yalimtii, marafiki wakaongeza na sifa zake mitaani zikawa kubwa.


  • Published : November 27, 2024

Kuku wa Kizungu… McHinjaji Hana Taabu!

Katika mkasa uliopita tuliona marafiki wawili; Dkt Raymond Pembe na Mzee Makaidi walivyofumaniana na kuishia kubadilishana wake zao.


  • Published : November 27, 2024

Usidharau Dafu ...Embe Tunda la Msimu

Anaitwa Janet Shelule. Mkasa wake ulianza siku alipokutana na Rahimu. Rahim akamtongoza na Janeth akamkubalia awe mpenzi wake. Mapenzi yalikuwa mazuri licha ya kwamba Rahim hakuwa na uwezo wa kutosha kifedha, biashara yake ya kuuza matunda reja reja ilimnyima uwezo huo.


  • Published : November 26, 2024


No award found

Ask Hussein Wamaywa anything

Contact Form