Dunia Uwanja wa Fujo
                      
                                
                                
                                
                                
                                             Publisher 
                                        
                                        
                                            Ape Network
                                        
                                    
                                             Language 
                                        
                                        
                                            Swahili
                                        
                                    BOOK OVERVIEW
“Dunia uwanja wa fujo” inaelezea jinsi maisha yaliyopo duniani ni sawa sawa na fujo kwani kila mtu anayekuja duniani huleta fujo zake na baadae kutoweka. Mwandishi E. Kezilahabi anaelezea katika jamii kila mtu anakuja duniani kufanya fujo zake na kusababisha matatizo mbalimbali katika jamii yake kama vile mauaji, ukabila, umalaya, uchawi, ubakaji ulevi wa kupindukia nk. hivyo basi mwandishi anaamini kwamba katika dunia kila mtu anakuja na fujo zake na kutoweka, mfano mhusika Tumaini katika Riwaya hii ameleta fujo zake kama vile umalaya, mauaji na mengine mengi na baadae kutoweka.
|  | 












