Samaki na Maji
Mchapishaji
Readit Books Ltd
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 06, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Samaki na Majiwalikuwa marafiki. walipendana sana hivyo walihofu kuwa siku moja watatengana. Maji yanamwambia Samaki kuwa hawatatengana. Je, Samaki na Maji watatengana?