Mama Chui na Watumishi Wake
Mchapishaji
Readit Books Ltd
Lugha
Swahili
MAELEZO YA KITABU
Ni hadithi ya kusisimua kuhusu Mama chui na watumishi wake Bweha na Mbwa. Watumishi wa Mama Chui wamekatazwa kula mifupa. Lakin uroho wa Mbwa unamfanya ashidwe kutii amri hiyo. Matokeo yake ni nini?