IBRAHI HUSSEI

BIOGRAPHY




Alikiona

Saida, mke wa Omari, yuko kitandani na mpenzi wake Abdallah, ambaye hataki kumuacha hadi aahidi kwenda kwake siku moja. Wakati huohuo, Omari anarudi kutoka kazini na Abdallah anajificha uvunguni. Baada ya Omari kuingia, Saida anatafuta kisingizio cha kumtoa nje ili kumpa Abdallah upenyo wa kutoroka.


  • Published : September 10, 2025

Arusi

Penzi la Bukini na Mwanaheri linaingia dosari baada ya Mwanaheri kupata ujauzito wa mwanamume mwingine aitwaye Ali. Dira ya uhusiano uliokuwa na ahadi kemkem inaenda arijojo. Je, Mwanaheri na Bukini watakabiliana vipi na kashfa nzito inayowakabili? Kombe litafunikwa au heri nusu shari?


  • Published : September 10, 2025

Jambo la Maana

Kitabu hiki ni matokeo ya tafsiri iliyofanywa na Ebrahim Hussein kutoka katika kazi za mwandishi maarufu wa Kideni, Hans Christian Anderson. Kitabu hiki kimebeba tafsiri za hadithi tatu:


  • Published : September 10, 2025


No award found

Ask Ibrahi Hussei anything

Contact Form