
Kisa cha Panzi na Kunguru
Publisher
Lantern-E-Books
Language
Swahili
BOOK OVERVIEW
Hadithi hii nimeitunga kama zawadi maalumu kwa Watoto wa Afrika, wapate kutambua umuhimu wa utawala bora, kupendana, kuaminiana na kushirikishana katika maamuzi yenye manufaa kwa mataifa yao na bara zima la Afrika.