Kisa cha Panzi na Kunguru
Mchapishaji
Lantern-E-Books
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 06, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Hadithi hii nimeitunga kama zawadi maalumu kwa Watoto wa Afrika, wapate kutambua umuhimu wa utawala bora, kupendana, kuaminiana na kushirikishana katika maamuzi yenye manufaa kwa mataifa yao na bara zima la Afrika.