Rosa Mistika
Publisher
Ape Network
Language
Swahili

Rent This Book

Expires on August 02, 2025

TSh 4,000/=

Choose Option

BOOK OVERVIEW

Rosa Mistika ni riwaya inayohusu masaibu ya msichana Rosa aliyelelewa katika mazingira ya udhibiti wa kidini na kimila katikati ya lindi la umaskini; na baadaye akakabiliwa na vishawishi pale alipoingia katika shule ya bweni na kisha chuo cha ualimu. Kutokana na malezi aliyoyapata, anashindwa kuvidhibiti vishawishi hivyo na hatimaye anapoteza maisha. Riwaya hiyo inatuingiza katika falsafa ya Kezilahabi kuhusu maisha, Mungu na ubaho ambayo inajitokeza kwa kina na upevu zaidi katika riwaya zake za baadaye.

1 COMMUNITY REVIEWS
Edwin Mshahara

Nimeisoma Riwaya hii zaidi ya mara mbili, nilijifunza sana kuhusu wahusika wawili Rosa Mistika pamoja na Baba yake, Mzee Zakaria kwangu mimi kitabu hiki kimenifanya nitambue changamoto wanazopata vijana wengi hususan wakike.

  • 1 year ago  ·  0 found this review useful

Write a Review