Kanuni za Ukulima wa Kisasa
Publisher
Tanzania Educational Publisher
Language
Swahili
BOOK OVERVIEW
Kanuni za Ukulima wa Kisasa ni kitabu kinachoeleza Kanuni Ishirini na Tano (25) za Ukulima wa Kisasa. Kanuni hizo ni zile ambazo wakulima wanapaswa kuzisoma na kuzielewa kwa lengo la kuendesha kilimo cha kisasa cha mazao mbalimbali ya kilimo. Kanuni hizo zimeelezwa kwa kikamilifu kitabuni.