Kusoma kwa Vitendo Kitabu cha cha Kwanza
Publisher
Ape Network
Language
Swahili

Rent This Book

Expires on August 01, 2025

TSh 1,500/=

Choose Option

BOOK OVERVIEW

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kusoma kwa kuzingatia muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 1 wa mwaka 2016. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha msomaji kupenda kujifunza zaidi. Kitabu kina hadithi fupi na vitendo vingi ambavyo kwa pamoja vinalenga kumpa mwanafunzi mazoezi katika mada zinazofundishwa, hususan mada ya Kusoma. Tunaamini kuwa kitabu hiki kitamjengea mwanafunzi uwezo na kumpa uwanja mpana wa kujifunza somo la Kiswahili kwa vitendo

COMMUNITY REVIEWS

There are no reviews for this book yet

Write a Review