Zawadi ya Wino
Mchapishaji
Gloria D. Gonsalves and Eric F. Ndumbaro
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 02, 2025

TSh 1,500/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Kitabu hiki kina nia moja kuu: Kumfanya mtoto apende kusoma vitabu. Lakini kabla ya kufanikisha hilo, inabidi tumueleweshe mtoto wetu kwanza kwa nini vitabu ni muhimu katika maisha yake.

Tumemwandikia mtoto wetu barua zenye mifano mbalimbali kuhusu umuhimu na uhondo wa vitabu. Tunatumaini kuwa barua hizi zitampa kiu ya kutaka kuthibitisha yaliyoandikwa humo.

Basi wewe mzazi, mwalimu na mlezi, jipatie kitabu hiki kama unataka kumpa nafasi mtoto wa jamii yetu kujenga tabia ya usomaji vitabu akiwa shuleni, nyumbani au popote.

Vitabu Zaidi VyaGloria D. Gonsalves and Eric F. Ndumbaro