
Mzimu wa Watu wa Kale
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili
MAELEZO YA KITABU
Mzimu wa Watu wa Kale ni hadithi ya upelelezi ya kusisimua. Katika hadithi hii Bwana Ali apatikana katika mzimu wa watu wa kale akiwa ameuawa.