Kisa cha Punda na Pundamilia
Mchapishaji
Lantern-E-Books
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 06, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Hadithi hii nimeitunga maalumu kama zawadi kwa mbuga ya wanyama ya Mikumi, Morogoro. Mapenzi yangu kwa Mikumi hayana kipimo, mara zote nikiwa Mikumi ninapata furaha sana, nafsi yangu hupata utulivu mkubwa na akili yangu hupata mawazo mapya yenye kunifanya kugundua uzuri wa nchi tajiri kwenye sekta ya maliasili na utalii, si nyingine bali Tanzania. Natamani dunia nzima ipate nafasi ya kutembelea mbuga za wanyama nchini Tanzania, hususani mbuga ya Mikumi. Hakika wataona mengi nao watapata mengi ya kuhadithia vizazi na vizazi.