
No video uploads for Hamisi A. S. Kissamvu |
Diwani ya Mkanyaji
Diwani ya Mkanyaji ni kazi maridhawa ya ushairi wa Kiswahili. Kama inavyofahamika pasi shaka kwamba, ushairi ndio utanzu wa awali miongoni mwa nyinginezo katika fasihi ya Kiswahili kuibushwa na binadamu katika harakati za kupambana na mazingira yake ya wakati huo.
|
|
Mwendakizani
Ule usemi usemwao na baadhi ya watu kwamba karne hii malenga hawapo tena, wamebaki wapanga maneno tu, hata kwenda mbali zaidi kwa kudai kuwa Ushairi umefifishwa kufikia kiwango cha kudorora na si fani yenye hadhi tena, ushairi hauna mvuto mbele ya jamii ya waswahili wenyewe na hata wageni.
|
|
No award found
Ask Hamisi A. S. Kissamvu anything
No questions, Be the first to ask Hamisi A. S. Kissamvu
Contact Form