
MBUNDA MSOKILE SEHEMU YA TATUJoyce Nombo akieleza wandishi wa mume wake, safari zake. n.k
|
|
MBUNDA MSOKILE SEHEMU YA KWANZAMke wa Mbunda Msokile Joyce Nombo akimueleza mumewe wakati wa uhai wake.
|
|
MBUNDA MSOKILE SEHEMU YA PILIJoyce Nombo akieleza safari za mume wake Mbunda Msokile
|
|
Thamani ya Ukubwa
Rinda Musekusi anatumia madaraka yake vibaya kwa kupalilia ukabila na kutumia ofisi za umma kwa maslahi yake binafsi. Safari yake haiishii pema kwani anajikuta amedondokea katika mikono ya mahakama tayari kwa ajili ya kuhukumiwa.
|
|
Dhihaka ya Mume
Uvumilivu usioelezeka unagonga mwamba baada ya Marisa kutoweza kuendelea na penzi la manyanyaso la Maina. Dhihaka ya Mume ni riwaya inayoakisi maisha ya jamii iliyojaa matabaka, mila na desturi zilizopitwa na wakati, umasikini, mapenzi na usaliti.
|
|
No award found
Ask Mbunda Msokile anything
No questions, Be the first to ask Mbunda Msokile
Contact Form