Silaha Mia Moja za Kiongozi
Publisher
Tanzania Educational Publisher
Language
Swahili

Rent This Book

Expires on August 07, 2025

TSh 1,000/=

Choose Option

BOOK OVERVIEW

Kiongozi ni mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mwenye madaraka au mamlaka juu ya mtu mmoja au watu wengi. Maana nyingine ya Kiongozi ni mtu aliyepewa jukumu la kuongoza mtu mmoja au watu wengi. Mtu mmoja huyo anaweza akawa mwanandoa mwenzie au mtu mmoja mwingine ambaye ana ushirika naye. “Watu wengi” wanaweza kuanzia wanafamilia yake hadi taifa zima. Kwa upande mwingine, uongozi ni mamlaka ya kuongoza mtu mmoja au watu wengi kwa lengo maalumu.
Lengo hilo linaweza kuwa ni la maendeleo au ukombozi wa aina fulani kwa mtu au watu hao.

COMMUNITY REVIEWS

There are no reviews for this book yet

Write a Review