Visumbufu Vya Mazao Shambani
Mchapishaji
Tanzania Educational Publisher
Lugha
Swahili
MAELEZO YA KITABU
Visumbufu vya Mazao Shambani ni kitabu kinachoeleza visumbufu ambavyo hushambulia mimea ya mazao yawapo shambani yakiendelea kustawi. Aidha, kitabu hueleza namna ya kuvidhibiti. Visumbufu hivyo ni magonjwa, wadudu, ndege, wanyama na magugu. Ni kitabu muhimu kwa wakulima.