
Mwalimu Rose
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili
MAELEZO YA KITABU
Ambrose Mghanga amefanikiwa kuichora jamii katika kurasa na kuipa fursa ya kujitazama katika riwaya yake hii. Changamoto za ndoa na usaliti zimeakisiwa kisanaa na kutoa funzo kwa wanajamii juu ya masuala haya mtambuka yanayotukabili.