Kumng'Oa Nduli
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili

MAELEZO YA KITABU

Tamthiliya hii inaakisi awamu mbili za utawala wa Dikteta Idi Amin nchini Uganda. Awamu ya kwanza ni kuanzia mwaka 1971 alipomng’oa Milton Obote na kujitangaza rais wa maisha wa nchi ya Uganda.