Kosa la Bwana Msa
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 04, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Kosa la Bwana Msa ni riwaya iliyopikwa kwa lugha ya kisanaa na kuivishwa kwa hekima za jamii kwa kuonesha nini hutokea mwanadamu anapovishwa sifa ya uungu ya kutokosea.