Dhihaka ya Mume
Mchapishaji
Ape Network
Lugha
Swahili

Azima Kitabu Hiki

Expires on August 04, 2025

TSh 2,000/=

Chagua

MAELEZO YA KITABU

Uvumilivu usioelezeka unagonga mwamba baada ya Marisa kutoweza kuendelea na penzi la manyanyaso la Maina. Dhihaka ya Mume ni riwaya inayoakisi maisha ya jamii iliyojaa matabaka, mila na desturi zilizopitwa na wakati, umasikini, mapenzi na usaliti.